• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA YAPOKEA VIFAA TIBA KUTOKA BENKI YA NMB

Posted on: August 7th, 2023

HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA YAPOKEA VIFAA TIBA KUTOKA  BENKI YA NMB

Na. Afisa Habari Shinyanga DC.


Katibu Tawala wa Wilaya  Ndg. Said Kitinga  kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga amepokea vifaa tiba  kutoka NMB vyenye thamani ya zaidi ya Milioni 25, ( Viti Mwendo 5, Vitanda Mwendo 4, Magodoro 20, Vitanda vya Wagonjwa 20, Mashuka 150, Vitanda vya kujifungulia 4). Vifaa hivyo vitatumika katika vituo vitatu vya kutolea  huduma za Afya ambavyo ni; Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya, Zahanati ya Lyabukande na Zahanati ya Mwabenda. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Akiongea katika makabidhiano hayo Ndg. Kitinga amesema, vifaa vitasaidia kuboresha utoaji huduma za afya. Amehimiza watumishi kutunza vifaa  na kuhakisha vinatumika inavyotakiwa ili kuleta manufaa yanayotarajiwa.

Pia, ameongeza kusema kitendo cha NMB kuichagua Halmashauri ya Wilaya ya  Shinyanga kimeonesha ushirikiano kati ya Halmashauri na Benki ya NMB.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  Mhe. Ngassa Mboje amewashuruku NMB  kwa kuamua kuifanya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kuwa sehemu ya upokeaji faida kwa jamii. Pia amewaomba NMB kuendelea kushirikiana na Halmashauri katika kusaidia juhudi za Serikali za kuboresha utoaji huduma kwa wananchi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  Ndg. Simon Berege. Ameishukuru NMB kwa mchango huo katika sekta ya afya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Aidha, Mkurugenzi Berege amesema bado kuna changamoto mbalimbali katika utoaji huduma za Afya kama idadi ndogo ya wataalam na Gari la wagonjwa, hivyo anaomba NMB  na wadau wengine waendelee kuunga mkono juhudi za maendeleo Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Meneja wa NMB Kanda ya Magharibi ameishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa ushirikiano na kwa kuwatambua kama Wadau wa maendeleo na kusema kila mwaka imekuwa ikitenga 1% kwa ajili ya kurudisha faida kwa jamii na wamelenga Sekta ya Afya, Elimu na Majanga mbalimbali.


 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.