• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA KUJENGA BWENI KWA AJILI YA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM

Posted on: February 13th, 2024

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bw. Kisena Mabuba amebainisha kuwa halmashauri  ya Wilaya ya Shinyanga imepanga kujenga bweni kwa ajili ya kuwawezesha watoto wenye mahitaji maalumu kupata elimu katika mazingira rafiki. Kauli hiyo ameitoa leo katika halfu ya kukabidhi msaada wa kiti  mwendo kwa mwanafunzi Emmanuel Dotto mwenye mahitaji maalumwa anayesoma shule ya Msingi ya Iselemaganzi kilichotolewa na shirika la Tanzania Cheshire Foundation.


 Bw. Mabuba ametoa wito kwa wazazi na walezi wa watoto wenye mahitaji maalum kutowaficha watoto majumbani na kushindwa kuwapeleka shule hali inayopelekea watoto hao kukosa haki zao za msingi. “...Watoto wenye mahitaji maalumu sio kwamba hawawezi,wanaweza wakipewa nafasi, sisi tunasaidia ili kuwawezesha kufikia malengo yao....”


Aidha, amelishukurushirikala Tanzania Cheshire Foundationnawalimu wa shule ya msingi Iselemaganzi kwa kuwezesha upatikanaji wa msaaada wa kiti mwendo  na amewataka walimu hao kufanya kazi kwa moyo wa kujitoa maana kuna dhawabu katika kuwahudumia watoto wenye mahitaji maalum.Walimu hao wameagizwa pia kuhakikisha kuwa wanayajua mahitaji  na changamoto za wanafunzi kwa ujumla na kuzitafutia ufumbuzi.


Kwa upande wake Mwalimu Mkuu wa Shule ya Iselemaganzi Mwalimu Elias Litubijawakati akitoa taarifa ya shule, ameeleza kuwa shule hiyo inaratibu zoezi la kuwatambua watoto wenye mahitaji maalum na kushirikiana na wazazi ili kuhakikisha kuwa watoto hao wanapatiwa elimu.


Awali akiwasilisha mapendekezo ya mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 katika Baraza la Madiwani lililofanyika tarehe 07 Februari, 2024, Afisa Mipango wa Halmashauri aliainisha kuwa , halmashauri imetenga mapendekezoyabajetiyakiasi cha Tsh. 128,000,000.00 kwa ajili ya ujenzi wa bweni la watoto wenye mahitaji maalum.


Shule ya Msingi Iselemaganzi ina kituo cha ubainishaji na Upimaji wa Watoto Wenye Changamoto za Ujifunzaji na inatoa elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum.

Habari Picha

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bw. Kisena Mabuba

 akikabidhi msaada wa kiti mwendo kwa mwanafunzi Emmanuel Dotto wa

 Shule ya Msingi Iselemaganzi kilichotolewa na shirika la Tanzania Cheshire

 Foundation

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Iselemaganzi Mwalimu Elias Litubija akitoa 

taarifa ya shule wakati wa hafla ya kukabidhi kiti mwendo

Baadhi ya Walimu na wazazi wakishuhudia wakati wa hafla ya kukabidhi

 kiti mwendo

Baadhi ya wanafunzi wenye mahitaji maalum wakiendelea na masomo

 katika Shule ya Msingi ya Iselemaganzi.

 






Baadhi ya viongozi na wajumbe wa Kamati ya Shule wakati wa hafla ya

 kukabidhi kiti mwendo

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.