• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Halmashauli ya Wilaya ya Shinyanga yachukuwa hatua kukabiliana na Ugonjwa wa Kipindupindu.

Posted on: May 11th, 2024

Akiwasilisha taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga katika Mkutano wa Baraza la Madiwani Robo ya Tatu kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 uliofanyika Mei 10, 2024,  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Mwl. Stewart Makali alisema halmashauri imepokea taarifa ya uwepo wa ugonjwa  wa Kipindupindu  ambapo Aprili 30, 2024  jumla ya watu 11  waligundulika kuambukizwa ugonjwa huo katika Kijiji cha Nyaligogo Kata ya Mwakitolyo. Wagonjwa wawili walifaliki na Wagonjwa tisa walipatiwa matibabu na kuruhusiwa na Timu ya Wataalam inaendelea kufuatilia.


Aidha, alisema halmashauri imeshachukua hatua mbalimbali kukabiliana na ugonjwa huo.


“Halmashauli imegawa Dawa za kutibu maji kwa Kaya 462, tumetibu Visima vya Maji 16 na kutoa Elimu jinsi ya kujinga na maambukizi ya Kipindupindu katika Vitongoji vya Namba 1,2 na 3” alisema Mwl. Makali.


Kaimu Mkurugenzi amewataka Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga  kuchukua tahadhari na kujikinga na maambukizi ya ugonjwa huu kwa kuzingatia mambo yafuatayo; kutumia choo kikamilifu, Kunawa mikono kwa Maji safi kabla na baada ya kufanya shughuli yoyote, usafi wa Mazingira kula chakula kikiwa cha moto  na kunywa maji yanayotoka kwenye chanzo kinachoaminika  na yawe yametibiwa.


Kwa upande wake Mwenyeki wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Mhe. Ngassa Mboje amewapongeza wataalamu kuchukua hatua hizo mapema na kuwataka Waheshimiwa Madiwani kuwa msitari wa mbele kuelimisha jammi juu ya ugonjwa wa kipindupindu na kuhakikisha wananchi wanachukua tahadhari na kujikinga na maambukizi.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga akifungua Mkutano 

wa Baraza la Madiwani robo ya tatu  wa kujadili na kupokea taarifa za

 Kamati kwa mwaka wa fedha 2023/2024 wa

Kaimu Mkurugenzi mtendaji akiwasilisha taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji 

wa Halmashauri  ya Wilaya ya Shinyanga Katika Baraza la Madiwani

 Robo ya Tatu la kupokea na kujadili taarifa za Kamati.

w

Waheshimiwa Madiwani wakisikiliza kwa makini taarifa ya Mkurugenzi

 Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Shinyanga


Wataalam wakisikiliza kwa makini  taarifa ya Mkurugenzi

 Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Shinyanga



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.