• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

DED SHINYANGA DC ASAINISHA WATENDAJI WA KATA NA VIJIJI MIKATABA YA LISHE

Posted on: October 25th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Dr. Nice R. Munissy leo tarehe 25/10/2022 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga amewasainisha mikataba ya Utendaji kazi ya Lishe watendaji wa kata na vijiji vyote vya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga akishuhudiwa na Afisa Utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga pia akiwepo Afisa Lishe wa Mkoa wa shinyanga Ndugu Denis Madereke na wajumbe wa kamati ya Uongozi ya Afya ya Wilaya ya Shinyanga.

Dr. Nice, Akipokea Mkataba Kutoka kwa Mwenyekiti wa Watendaji wa Kata Shinyanga DC Mtendaji Maduhu.

Akizungumza kwenye kikao hicho, Dr. Nice alianza kwa kusalimia Wajumbe na kuwashukuru kwa kuitikia wito wa Kuhudhuria Mkutano huo, kisha alifunguwa kikao hicho. Aliwasisisitiza Wajumbe wote waliohudhuria kuwa Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesisistiza sana umuhimu wa Lishe kwa Watoto na kuonesha Madhara tunayoyapata kama Taifa, tunapokuwa na Watoto waliokosa Lishe kwa kipindi cha siku 1000. “ Mh. Rais ametuagiza Wakurugenzi wa Halmashauri, tusimamie watoto wapate mlo kamili kwenye zile siku 1000” Alisisitiza Dr. Nice.

Dr. Nice R. Munissy Akishuhudia Watendaji wakisaini Mkataba wa Lishe mbele ya  Kaimu DHRO Ms. Jane Gwaharagwe  na DMO Dr. Nuru Y. Yunge.

 

Aliwakumbusha Watendaji wote kuwa inabidi tukaze buti, kwani Mkoa wetu umekuwa wa Tisa kitaifa na Shinyanga DC hatujafanya vizuri sana kwenye Taarifa ya Mwisho iliyotolewa Kihalmashauri.

Amesisisitiza kila Mdau kuhakikisha kuwa anajitahidi kuipaisha Shinyanga DC kwenye Masuala ya Lishe na yeyeyote atayekutana na Changamoto basi amfikishie haraka naye hatasita kuitatuwa kwani swala la lishe inabidi lipewe kipaumbele sana, Alisisitiza Dr. Nice.

Aliwahimiza wakuu wa Idara alioambatana nao Kwenye Kikao hiko, Mkuu wa Idara ya Fedha, Mkuu wa Idara ya Tehama, Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mkuu wa Idara ya Mifugo, Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari, Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi na Idara zote Mtambuka kuhakikisha Wataalam wetu wa Lishe na MIpango ya Lishe ipewe kipaumbele ili lengo liweze kufikiwa.

Katibu Dr. Yunge, Alisoma Agenda za Kikao hiko cha Kamati Tendaji yay a LIshe cha Robo ya kwanza yaani Julai hadi Septemba 2022 na Wajumbe wakaanza kikao mida ya Saa nne na Nusu Asubuhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.