• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

Mkurugenzi Shinyanga azindua kampeni ya "Usichukulie poa , nyumba ni choo"

Posted on: September 10th, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya yaShinyanga Bi. Hoja Mahiba amezindua kampeni ya Kitaifa ya kuhamasisha wananchi kujenga vyoo bora na kuvitumia , katika viwanja vya Shule ya Msingi Maskati, kata ya Imesela inayojulikana kwa jina la "Usichukulie poa, nyumba ni choo".

Akiongea na wananchi  wa kata ya Imesela , Bi Mahiba  amewataka  wananchi  kuhakikisha kila nyumba ina choo bora hadi  kufikia Desemba mwaka huu.

Aidha, Bi. Mahiba amewaagiza viongozi ngazi za kata ,vijiji pamoja na jeshi la Sungusungu kuhakikisha wanalisimamia kwa kuhakikisha kila nyumba kuwa na choo bora na hatua kuchuliwa kwa wale wote ambao watakaidi agizo hilo .

"Tunahitaji taarifa kila wiki ya Maendeleo ya ujenzi wa vyoo bora kutoka katika kila kijiji". amesema Mahiba.

Kutoka upande wa kulia  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Bi. Hoja Mahiba ,katikati Mhe. Diwani wa Kata ya Masengwa Bw. Nicodemus L. Simon pamoja na balozi wa kampeni Bw. Mrisho Mpoto siku ya uzinduzi wa Kampeni ya "Usichukulie poa , nyumba ni choo".

Awali akitoa taarifa ya hali ya vyoo katika kata ya Imesela, Mtendaji wa Kijiji cha Imesela Bw. Charles Bundu   alisema "Ni asilimia 22 tu ya wakazi wa kata ya Imesela ndio wanaotumia vyoo bora". 

Mtendaji wa Kijiji cha Imesela Bw. Charles Bundu akisoma taarifa ya hali ya vyoo katika kata ya Imesela

Naye Balozi wa Kampeni hiyo Bw. Mrisho Mpoto amesema, haiwezekani Mkurugenzi  kuacha shughuli nyingine za uzalishaji na kuzungumzia kujenga vyoo, hivvo kila mwananchi akawe balozi kwa mwingine kuhusu kuwa na vyoo bora na kuvitumia.

Aidha, Mrisho amewahamasisha wananchi kuachana na kasumba potofu ya kushenena vichakani na kuacha vinyesi kusambaa bali watumie vyoo bora.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.