• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

DC SAMIZI AWASHUKURU WAJUMBE WA MKOMBOZI MINING GROUP KITALU NAMBA 11 MWAKITOLYO KWA KUMALIZA MGOGORO BAINA YAO, AWATAKA KUFANYA KAZI NA KUWANUFAISHA WANANCHI WA ENEO LENYE MGODI. AKAGUWA MRADI WA UJENZI WA MADARASA MATATU NA OFISI YA WALIMU

Posted on: May 3rd, 2023

DC  SAMIZI AWASHUKURU WAJUMBE WA MKOMBOZI MINING GROUP KITALU NAMBA 11 MWAKITOLYO KWA KUMALIZA MGOGORO BAINA YAO, AWATAKA KUFANYA KAZI NA KUWANUFAISHA WANANCHI WA ENEO LENYE MGODI. AKAGUWA MRADI WA UJENZI WA MADARASA MATATU NA OFISI YA WALIMU UNAOJENGWA NA WACHIBAJI WA NAMBA 5 SHULE YA MSINGI MWAKITOLYO B

Na. Afisa Habari Shinyanga DC

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mheshimiwa Johari M. Samizi, leo tarehe 03/05/2023 amekutana na Wajumbe wa Kikundi cha Mkombozi Mining Group, cha Mwakitolyo na kufanya nao Mazungumzo.. Akiwa na Mwenyeji wake, Diwani wa Kata ya Mwakitolyo, Mhe. Masalu N. Lusana, Afisa Tarafa Ramadhan Gideon, Mtendaji wa Kata ya Mwakitolyto, Mwakilishi wa Mkurgenzi Mtendaji na Wajumbe wote wa Menejiment ya Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwenye Ofisi za Mtendaji wa Kata ya Mwakitolyo Mhe. DC Alisisitiza suala la kufata Sheria na taratibu za Serikali kwenye kufanya shughuli zetu za kila siku.

Aliwashukuru wana kikundi kwa kutenga Muda wao kukutana naye na kuacha shughuli zao ambazo huwa ziko “Tight” sana. Kwa kweli nawashukuru sana ndugu Wajumbe, manake nyie watu wa Migodi huwa mko na shughuli nyingi za uzalishaji mali lakini bila kujali mmeona mje tuzungumze hapa, kwa wingi huu, nawashkuru sana na naona mna nia ya dhati ya kuhakikisha tuna songa mbele kuleta Maendeleo Mwakitolyo. Nawashukuru sana.

Awashukuru wana Kikundi kwa kufanya maamuzi ya kuungana (Joint Venture) na wawekezaji wakubwa kiasi ili kutatuwa Changamoto za Mitaji na Utaalam ambao nyie mlikuwa hamna. Nimefurahi zaidi kusikia kuwa mlishakubaliana na kufanya maamuzi mpaka hatuwa ya kusaini Makubaliano baina yenu na muwekezaji,hiki ni kitu kizuri na Serikali ya Wilaya ya Shinyanga inawapongeza sana kwa hatua hiyo,sasa tunachosubiri ni utekelezaji wa Makubaliano yenu na hawa Ofisi ya Tume ya Madini wako wanawaangalia kuona hamyumbishwi kwenye malengo mlojiwekea wenyewe.

Aliwahimiza Wanakikundi kuwa Serikali inasubiri kunufaika kutokana na Makubaliano waliyofikia wana kikundi hiko na Muwekezaji wao, na kusiwe na watu wa kuleta chokochoko baina yenu na muwekezaji kuhakikisha Masuala ya Uchimbaji na unufaikaji wa Biashara hii ya Uchimbaji inaharibika. “Hapo watatushika watu wa Serikali pabaya. Msikubali atokee mtu yeyote avuruge makubaliano yenu mlofikia, na aliwataka wanakikundi kuhakikisha Biashara hii inawanufaisha wana Kikundi wote bila Ubaguzi na kila kitu kifanywe kutokana na Katiba yenu inavosema” alisisitiza Mh DC Samizi.

Azitaka Ofisiza Tume ya Madini Mkoa wa Shinyanga kusimamia taratibu zote za uchimbaji na mikataba kuhakikisha kuwa Serikali inapata tozo zote zinatokanazo na machimbo haya na pia kuhakikisha wanawashauri mara kwa mara Vikundi hivi vya wachimbaji wadogo kufata taratibu sharia na kanuni za Serikali pamoja na kuhakikisha Katiba za Vikundi zinafatwa ili kuepusha Migogoro maeneo ya Kazi.

Asisitiza pia Halmashauri na Tume ya Madini mkoa wa Shinyanga kuhakikisha Changamoto na haki za Wanachama wa kikundi zizingatiwe sana na kuwasilishwa ofisi hizo pindi zinapotokea,pia alihimiza Usalama maeneo ya kazi upewe kipaumbele na ukaguzi wa Mara kwa mara ufanyike kuhakikisha watu wanafanya kazi sehemu salama.

Akikaguwa Mradi Ujenzi wa Madarasa matatu Shule ya Msingi Mwakitolyo B na Ofisi ya Walimu, Mradi unaojengwa kwa nguvu ya umoja wa Vitalu Mwakitolyo namba 5 Mh.

DC alisema haya ndio mambo tunayotaka, haya ndio manufaa ya kuwa na Madini na watu wakanufaika na Madini yao, aliwapongeza sana wana Vitalu hao na akasema huu ni mfano wa kuigwa na wawekezaji wote kusaidia maendeleo kwenye maeneo yenye Miradi. Kwa Taarifa tu, nimesikia kuwa Wachimbaji hawa wameshaagiza Ambulance,na kuwa iko njia muda wowote tutaipokea hapa Mwakitolyo,hatuwa hii imeifurahishasana Serikali. Tunawapongeza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.