• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

DC SAMIZI AFUNGUA MAFUNZO YA USAMBAZAJI NA MATUMIZI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: November 30th, 2023


Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi tarehe 29 Novemba, 2023 ameongoza mafunzo ya usambazaji na matumizi ya matokeo ya sensa ya watu na makazi kwa 2022  yaliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) katika ukumbi wa NSSF Shinyanga.


Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo haya  ambayo yamehudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali, Viongozi wa dini, watendaji wa kata, Mitaa na Vijiji Mhe. Samizi amewasihi washiriki wa mafunzo haya kusikililiza kwa makini ili kwenda kuwaeleza wanachi matokeo ya sensa na matumizi ya matokeo haya ili kwenda kupanga mipango endelevu kwa maendeleo ya wananchi wote kwa ujumla huku akiipongeza ofisi ya Taifa ya takwimu kwa kazi nzuri ya utekelezaji wa sensa ya watu na makazi


"Kipekee naipongeza ofisi ya takwimu kwa utekelezaji mzuri wa zoezi la sensa ambalo zoezi hili kwa kupokea matokea haya yatakwenda kusaidia kupanga mipango endelevu kwa ajili ya maendeleo kwa ujumla" amesema Mhe. Samizi



Akitoa Wasilisho la Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi 2022, Mtakwimu Mwandamizi kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ndg. Mdoka Omary amesema mkoa wa Shinyanga una wakazi 2,241,299 ambapo halmashauri yenye watu wengi ni Halmashauri ya wilaya ya Shinyanga watu 468,611 ikifuatiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kahama  453,654 , halmashauri yenye idadi ndogo ya watu katika mkoa wa Shinyanga ni Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga  214, 744.



Matokea haya ya sensa yatakwenda kusaidia katika kuweka mipango itakayotoa majibu ya changamoto mbalimbali za maendeleo zinazowakabili wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga hususani , mipango inayojielekeza katika kuondoa umasikini wa kipato na usio wa kipato na hatimae kuinua kiwango cha hali ya maisha kama inavyoelekeza Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025 na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2020.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.