• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

DC MTATIRO AWAHIMIZA WANASHINYANGA KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: November 14th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro, ametoa rai kwa wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi Novemba 27,2024 kuwachagua viongozi wa vijiji na vitongoji vyao.

Rai hiyo ameitoa leo Novemba 14, 2024 wakati akizungumza na wakazi wa halmashauri hiyo katika  mashindano ya mbio za Baiskeli na michezo mingine yaliyofanyika kata ya Tinde katika uwanja wa michezo wa shule ya Msingi Tinde A.

“Tuna zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa tarehe 27 mwezi huu, ambapo zimebaki siku chache, kama tunavyofahamu, tarehe 20 hadi 26 Novemba, 2024 wagombea watafanya kampeni za uchaguzi, kwa hiyo tujitokeze tukawasikilize wagombea na tarehe 27 tujitokeze tukapige kura.” amesema Wakili Mtatiro

Wakili Mtatiro amesisitiza umuhimu wa wananchi  kuchagua viongozi wa vijiji na vitongoji  kwani viongozi  hao wana majukumu makubwa yanayohusu masuala mbalimbali, ikiwemo ardhi na changamoto za kijamii na kwamba viongozi wanaowachagua watakuwa msaada mkubwa katika utatuzi wa changamoto zinazowakabili katika maeneo yao.


“Kati ya mambo ya hatari ambayo unaweza kufanya duniani ni kutokwenda kupiga kura na kuwachagua viongozi wako wa vitongoji na vijiji kwa kuwa wana mamlaka juu ya masuala yako muhimu katika eneo lako na pakitokea changamoto ni wewe ndiye utakayepata tabu kwa hiyo niwaombe vijana, wazee, na akina mama, tujitokeze tarehe 27 mwezi huu wa Novemba, ambayo ni siku ya Jumatano siku ya mapumziko , twende tukapange foleni na tupige kura kuwachagua viongozi wetu wa vijiji na vitongoji.” amesisitiza Wakili Mtatiro

Mashindano ya mbio za baiskeli yameandaliwa na Msimamizi wa Uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Dkt Kalekwa Kasanga  yakiwa ni fursa ya kuwakutanisha wakazi wa kata ya Tinde  kwa lengo la kuwahamasisha kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 27, 2024 kuwachagua wenyeviti  wa vijiji,  wenyeviti wa vitongozi na wajumbe wa serikali ya kijiji

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.