• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Government Web Framework
Government Web Framework

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwongozo wa Tovuti za Serikali

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

CAMFED IMETOA MAFUNZO YA STADI ZA MAISHA KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA

Posted on: June 12th, 2024

Shirika lisilo la Serikali la Campaign for Female Education (CAMFED) limetoa mafunzo ya  stadi za maisha 

kwa Maafisa Elimu Kata, Wakuu wa Shule Sekondari, Walimu wa Unasihi Shuleni na Mratibu wa Mradi ngazi 

ya Halmashauri,


Mafunzo hayo yamefanyika kwa muda wa siku mbili Juni 11 hadi Juni 12, 2024 katika ukumbi  wa Halmashauri uliopo 

Iselemagazi na yanayolenga kuwajengea uwezo makundi hayo ili  kuwawezesha wanafunzi kuendelea kujifunza kwa 

umahiri na kukabiliana na changamoto zinazoweza kusababisha  wasiendelee na masomo.


Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo, Bw. Stewart Makal, Mkuu wa Divisheni ya Elimu Sekondari kwa niaba ya

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya  ya Shinyanga amesema Halmashauri iko tayari kushirikana na wadau hao 

katika kuhakikisha ulinzi wa watoto  katika jamii.


 Mwezeshaji wa Mafunzo hayo, Filoteus Nombo akiwasilisha kuhusu dhana ya CAMFED amesema, shirika hilo lilianzishwa

 nchini Tanzania mwaka 2006 likiwa na lengo la kuhakikisha mtoto wa kike anapata elimu ili kutimiza ndoto zake. Kwa sasa 

CAMFED inafanya kazi na Ofisi ya Rais TAMISEMI na Wizara ya Elimu, Sanyansi na Taknolojia katika mikoa 10.  Mikoa hiyo

 ni Shinyanga, Singida, Mwanza, Tabora, Iringa,Dodoma,Tanga, Morogoro, Pwani na Dar es Salaam.


Kwa upande wake Bw.Patrick Mwalyepelo, mwezeshaji wa mada ya elimu ya stadi ya maisha  amesema program ya elimu ya stadi 

ya maisha  inalenga kumjengea mwanafunzi uwezo wa kutambua mahitaji yake  ya kisaikolojia na kifizikia ili aweze kufanya vizuri

 kimasomo na kimaisha. Elimu hiyo imelenga pia kuongeza   mahudhurio  na ufaulu shuleni.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 09, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA ( MCHUJO) KADA YA DEREVA DARAJA LA II April 15, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA TATU April 17, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI April 19, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MITI 1000 YAPANDWA KATA YA SALAWE KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU.

    December 09, 2024
  • BABA BORA, SAUTI YA UMMA NA WANAWAKE VIONGOZI WAPATIWA VITENDEA KAZI

    November 15, 2024
  • WANADIDIA WAOMBWA KUJITOKEZA KWA WINGI NOVEMBA 27, KUPIGA KURA

    November 15, 2024
  • MASHINE YA X-RAY MBIONI KUFIKA KITUO CHA AFYA TINDE

    November 15, 2024
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Government Web Framework

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.