• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Shinyanga District Council
Shinyanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

uchaguzi

Kitengo cha Uchaguzi katika ngazi ya Halmashauri kinatekeleza Majukumu yafuatayo.

1.Kuratibu na kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa Rais,Wabunge na Madiwani.

2.Kusimamia na kuratibu uandikishaji wa Wapiga kura katika Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani katika Jamhuri ya Muungano.

3.Kusimamia na Kuratibu uandikishaji wa Wapiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

(Uchaguzi wa Wenyeviti wa Vijiji,Mitaa,Vitongoji na wajumbe wa vijiji na Mitaa)

4.Kuratibu na kusimamia zoezi la ujazaji wa Rejesta ya wakazi katika Mitaa,Vijiji na Vitongoji.

5.Kupitia na Kuboresha Mipaka ya Kata,Vijiji,Mitaa na Vitongoji ili kusogeza huduma kwa Wananchi.

6.Kuendelea kutoa Elimu ya Mpiga kura kwa wananchi, taasisi za Umma na za watu Binafsi.

7.Kuendelea kukusanya takwimu za wananchi waliofikisha Umri wa Miaka 18 na kuendelea.

8.Kukusanya Takwimu za Wapiga kura waliopotelewa na Vitambulisho vya Mpiga kura na kuiarifu Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)

9.Kuandaa taarifa ya nafasi wazi za viongozi wa Serikali za Mitaa na kuomba kibali Ofisi ya Rais Tamisemi kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo.

10.Kuratibu mafunzo ya kuwajengea uwezo kwa Wenyeviti wa Vijiji,Mitaa,Vitongoji na wajumbe wa kamati za Vijiji na Mitaa.

12.Kutekeleza Majukumu Mengine yoyote kwa Mujibu wa maelekezo toka Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC)

Matangazo

  • Tangazo la nafasi za kazi za muda August 09, 2019
  • Nafasi za Kazi za Mkataba January 25, 2019
  • Katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki May 25, 2019
  • Nafasi za Kazi za Mtendaji wa Kijiji na Dereva January 25, 2019
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Jafo asifia ujenzi Hospitali ya Wilaya Shinyanga

    December 07, 2019
  • Ziara ya Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Wilayani Shinyanga

    November 09, 2019
  • Mkurugenzi Shinyanga azindua kampeni ya "Usichukulie poa , nyumba ni choo"

    September 10, 2019
  • Wananchi wahimizwa kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya

    July 18, 2019
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mwanza Road

    Anuani ya posta: 113

    Simu: 028-2762251

    Simu: 028-2762259

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa