Monday 16th, December 2019
@Lyabukande
Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yatakayofanyika siku ya ijumaa tarehe 08.03.2019.Kwa ngazi ya Halmashauri maadhimisho hayo yatafanyikia katika kata ya Lyabukande.Mgeni Rasmi atakuwa Mbunge wa viti maalum mkoani Shinyanga Mhe.Azza Hamad .Mambo mbalimbali yatafanyika zikiwemo vikundi vya burudani,vikundi vya wanawake na shughuli zao,huduma za upimaji wa VVU kutoka mashirika ya CUAM na JAPAICO na sinema kutoka AGAPE na mashirika mengine yatashiriki siku hiyo.
Mwanza Road
Anuani ya posta: 113
Simu: 028-2762251
Simu: 028-2762259
Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz
Hakimiliki©2018. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa